Mtambuzi kwa hili mimi naomba niwatetee wanawake...wengi ni wavumilivu; wengi wanaishi na wanaume wenye visukari na BP ambao perfomance zao ni karibu na zero.
Ila kwa wanaume...mke akiwa mjamzito tu akakosa k miezi miwili ameshatoka nje (most of you)
Ndio maana hapa watu wanashangaa huyu ni mke wa aina gani kwani wake wengi wanakubali kuishi na wagonjwa mpaka kifo kiwatenge.