FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,179
- 40,876
Nasikia zilitumika bilioni sitini ya miaka zaidi ya kumi iliyopita. Nasikia eti Mramba aliomba watz wote wale nyasi kwa muda ili zipatikane fedha za kuinunua, hivi iko wapi? Na haiwezi ikafanyiwa modification ili wapewe ATCL wabebee abiria kwenda hata sauzi tu?
hahahahah..., daaah.., we kibokoHizo nyasi ulikuwa wewe na familia yako?
Mramba huwa namwonea tamaa sana yaani upige mihela yakujaza tololi alafufu ule miezi nakurudi kufagia hakika mramba kidumeSasa yeye Mramba ndiyo aliyekula nyasi Gerezani!
Zile tuliongezea mtaji wa ...... Air Na kujengea zile hotelMramba huwa namwonea tamaa sana yaani upige mihela yakujaza tololi alafufu ule miezi nakurudi kufagia hakika mramba kidume
Sent using Jamii Forums mobile app
Your wish has come true....Nasikia zilitumika bilioni sitini ya miaka zaidi ya kumi iliyopita. Nasikia eti Mramba aliomba Watanzania wote wale nyasi kwa muda ili zipatikane fedha za kuinunua, hivi iko wapi? Na haiwezi ikafanyiwa modification ili wapewe ATCL wabebee abiria kwenda hata sauzi tu?
Teh teh teh, mkuu tafadhali badili signature yako.Sasa yeye Mramba ndiyo aliyekula nyasi Gerezani!
Mshua kaigawa kwa ATCL janaNasikia zilitumika bilioni sitini ya miaka zaidi ya kumi iliyopita. Nasikia eti Mramba aliomba Watanzania wote wale nyasi kwa muda ili zipatikane fedha za kuinunua, hivi iko wapi? Na haiwezi ikafanyiwa modification ili wapewe ATCL wabebee abiria kwenda hata sauzi tu?
Nashukuru amekubali ushauri wanguHata kama wapo watakaombeza lakini kuamua hizo ndege kubeba abiria safi kabisa. Namuunga mkono
Daa, kweli aisee, halafu nilishausahau huu uzi kabisa..Your wish has come true....
Mramba huwa namwonea tamaa sana yaani upige mihela yakujaza tololi alafufu ule miezi nakurudi kufagia hakika mramba kidume
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipewa adhabu ya kusafisha vyoo tu.., kisha akaachiwa, hahaha..
Alipewa adhabu ya kusafisha vyoo tu.., kisha akaachiwa, hahaha..
Fanya utafiti kwanza kabla ya kuongelea mambo usiyokuwa na uhakika nayo.Nasikia zilitumika bilioni sitini ya miaka zaidi ya kumi iliyopita. Nasikia eti Mramba aliomba Watanzania wote wale nyasi kwa muda ili zipatikane fedha za kuinunua, hivi iko wapi? Na haiwezi ikafanyiwa modification ili wapewe ATCL wabebee abiria kwenda hata sauzi tu?
Nimecheka sana. Kweli bhana, Mramba aliongea hayo lakini hakuna mtanzania aliekula nyasi labda mtoa mada. HahahaHizo nyasi ulikuwa wewe na familia yako?