He can't guard Curry, they throw Tristan and KL on Curry alafu wanampa Kyrie mzigo wa KD.. BTW lots of KD points came from transition and Bron TO's.. I just saw two possession that KD scored on him..
Ukiangalia vizuri stats, utaona Cavs wana nafasi kubwa ya kushinda hii game:-
1. LBJ turnovers 7
2. TT 1 rebound and 0 point
3. Assists 10 vs 20 za GSW
4. Kyrie defending KD
5. 43 vs 61
Pamoja na issue zote hizo gap ni 8 pts only, naamini tunawin hii game tukirekebisha issues zote hizi
Another thing to note, Vegas waliwapa hii game Cavs. Warriors wanakuwa vibaya sana wakitoka kwenye long rest.. With 12 TO against 1 na Warriors wanaongoza kwa 8 points tu utaona ni kwanini mlitakiwa kushinda hii game..