Uchaguzi 2020 Nawaonea huruma madiwani na wabunge waliopitishwa kwa tiketi ya CCM

Nasubiri kuona uso wake siku atakapotokea mbele ya jamii, niiskie na sauti yake, wanasaikojia tutapata majibu.

Sometime unaweza dhani unamuumiza jirani yako kumbe unajiumiza mwenyewe, zaidi ukishajulikana ni kisirani.
 
Ndugu mlokozi sayansi na uhuni ni vitu viwili tofauti na havitengamani.
By the way, mshamaliza mlokuwa mnafanya basi fungulieni mitandao.
 
Wewe endelea kuugulia penicillin injection na kitaalamu huwa wanasema haifai kuchomwa kwenye jua kali na ukishachomwa shruti ukae kwanza..zingatia hayo Mike

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ndugu mlokozi sayansi na uhuni ni vitu viwili tofauti na havitengamani.
By the way, mshamaliza mlokuwa mnafanya basi fungulieni mitandao.
Kunywa cocacola pressure ishuke kamanda yaani imepigwa blancoo upo chali hahahah!

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kunywa cocacola pressure ishuke kamanda yaani imepigwa blancoo upo chali hahahah!

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Coca-Cola si tiba ya hypertension, hiki unachofurahia impact yake inakuhusu unless you are an insider.
 
Coca-Cola si tiba ya hypertension, hiki unachofurahia impact yake inakuhusu unless you are an insider.
Hivi wewe uliamini kabisa kuwa Chadema watashinda? Pole sana na msisikitike sana jifunzeni pale mlipojikwaa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Pamoja na kwamba tumekosa udambwi dambwi bungeni
Heche, Mbowe, Mdee, Matiko, Bulaya, nk
Lakini kuna kitu cha kujifunza hapa
Tuangalie wabunge hawa ndan ya miaka 5 wamefanya nn? Au wamelifanyia nn Taifa

Tangia awamu ya tano iingie madarakani
Wapinzani kila kitu wanapinga tu
Mara wajizibe midogo
Mara wamesusia bajeti
Kipindi cha corona wametoka nje ya bunge
Leo wametolewa bungeni mazima kwa mijibu wa katiba
Kura azikutosha kelele sasa za nini?
hata wangeteuliwa kuwa wabunge wangekuwa wanasusa susa tu ,,
Ni kheri wakae nje mazima
 
Mm naishi kwa shemeji, namtegemea dada akate mauno vzr huko chumban ili nipate kuishi.
CCM au upinzani kushinda mm hainisaidii chochote ila nyie upinzani tumieni akili kwenye mambo yenu, mlitegemea kushinda kupitia kura za huruma lkn watanzania wamewanyoosha.

Bungen badala ya kukaa na kujadili mambo ya maana lkn ndo kwanza kupinga kila kitu, na wakat wa coronavirus ety mkasema tufungiwe ndani (hv ht ww una akili timamu kweli ww, yn ufungiwe ndan hlf utakula hewa au.?) Tulien hvy hvy iwaingie vzr

Magufuli mume wenu
 
Hivi wewe uliamini kabisa kuwa Chadema watashinda? Pole sana na msisikitike sana jifunzeni pale mlipojikwaa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Naomba nisaidie kitu mkuu. Chadema imejikwaa wapi? Na inajifunzaje?
 
Sema tutakiona mkuu
 
Kwa sasa huwezi kuona impact ya kilichofanyika. Subiri ipite miaka miwili. Ukweli mwingine ni kwamba tunaweza kushuhudia maendeleo makubwa ya vitu na baadhi ya watz maisha yao kuboreka ila uhuru wa kujieleza ukawa maiti.
 
Yatatumika mpka makalio yapate sugu,bunge limejaa utopolo na wachumia tumbo tu
 
Acha kutishia nyau wewe
 
Hivi wewe uliamini kabisa kuwa Chadema watashinda? Pole sana na msisikitike sana jifunzeni pale mlipojikwaa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hawa watu hawawezi kujifunza hata kidogo, wanachokijua wao ni mihemko tu.

Ukweli wanaufahamu, sema kiburi tu kinawasumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…