The Magnificent JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 2,694 Reaction score 1,250 Oct 24, 2013 #1 Wakuu Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada! ZUKU Satelite TV Complete kit yangu ina kila kitu kinachotakiwa na nzuri zaidi imelipiwa hadi tarehe 10/11/2013. 1.Decoda(Ina HDMI application) 2.Dish Lake. Nipo Dar es Salaam. Kwa aliye tayari mawasiliano yangu ni 0757665701/0787665701. NB:Kwa sasa ukienda kununua mpya dukani full package and instillation ni Tsh 150000/= lakini hii yangu unapata kwa bei rahisi tu. The Magnificent!
Wakuu Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada! ZUKU Satelite TV Complete kit yangu ina kila kitu kinachotakiwa na nzuri zaidi imelipiwa hadi tarehe 10/11/2013. 1.Decoda(Ina HDMI application) 2.Dish Lake. Nipo Dar es Salaam. Kwa aliye tayari mawasiliano yangu ni 0757665701/0787665701. NB:Kwa sasa ukienda kununua mpya dukani full package and instillation ni Tsh 150000/= lakini hii yangu unapata kwa bei rahisi tu. The Magnificent!
B Bonge JF-Expert Member Joined Aug 29, 2007 Posts 1,124 Reaction score 881 Oct 25, 2013 #2 Bei rahisi ni shs ngapi?
B Bible Senior Member Joined Sep 13, 2013 Posts 136 Reaction score 8 Oct 25, 2013 #3 mi nahitaji sana iyo ila tatizo bei haujataja