Viwanja kipo kimbiji kwa chale.
Ukubwa wa 850 sqm
Bei ni 6,000,000 each
Malipo ni cash
Viwanja vimepimwa utakuwa na kazi ya kutafuta hati tu.
Umeme na barabara ni huduma zilizo tayari.
Call mi 0714227532 ama WhatsApp 0627911500
Tatizo la kimbiji uaweza kukaa kituoni kwa muda mrefu sana ukisubiria usafiri kwa sasa soon Patawika na kuwa ghari sana mazingira ya huko mazuri sana aseeee
But magari yapo mengi sana.....sema watanzania tunapenda historia....watu waligoma kuhama upanga kwenda sinza wakasema mashambani....sasa wanajilaumu
Sitoshanfaa mtu anaona mbali kimbiji lakini hana hela za kununua eneo magomeni sasa sijui anataka nini!