naona wateja wanazidi kumiminika tu queen b. tujifunze kutangaza kwa weredi lau umshawishi hata asiye na mpango wa kununua lau amwelekeze mwenzake!
*tangazo halitaji ofisi
*mawasiliano
*bei yako
*gharama za usafiri kwa (nje ya dar)
*namna ya matumizi/kuhifadhi kama itahitajia kuepuka hasara.
Uko Bunju, wateja wako unawapelekea, hujataja bei huo uyoga, ama garama za kumpelekea mteja kwake. Mimi nahitaji niletee mbezi Luis, ila unahitaji kuwa na mawasiliano.