Tatizo lako umekariri kwamba kila kitu ni cha msimu na kingine wewe una ubinafsi, haiwezekani wewe umekaa huko uliko unaanza kusema hakuna wateja, kakuambia nani???????????..........Kitendo cha huyu ndugu kuweka tangazo hapa jf ndio mwanzo wa kupata wateja ambao wewe unasema huwaoni. Pole sana endelea na kukariri.