Ha ha haaa mkuu vijana wakachukua simu yao daaa aisee pole sana mkuu
One plus hawa jamaa hawabahatishi aisee wamejipanga sawa sawa
Safari hii wame improve Kwenye vitu vingi sana
Wamelishika soko kweli kweli kwenye top 5 huwakosi
Wame improve sana kwenye battery ikiwa full charge asubuhi hiyo ni mpaka jioni... Na hapo tuseme huwa nakuwa online data inakuwa on 80% per day or more