Nauza simu One plus 3t

Aisee! Oneplus, simu ya ndoto yangu. Niliwahi kuwa na Oneplus One, hongera sana kwa vijana wa Msamvu Morogoro wakaondoka nayo.

Oneplus, hiyo ndio simu hasa. Tatizo, mfukoni nimekaukiwa.
 
Aisee! Oneplus, simu ya ndoto yangu. Niliwahi kuwa na Oneplus One, hongera sana kwa vijana wa Msamvu Morogoro wakaondoka nayo.

Oneplus, hiyo ndio simu hasa. Tatizo, mfukoni nimekaukiwa.
Ha ha haaa mkuu vijana wakachukua simu yao daaa aisee pole sana mkuu
One plus hawa jamaa hawabahatishi aisee wamejipanga sawa sawa
Safari hii wame improve Kwenye vitu vingi sana
Wamelishika soko kweli kweli kwenye top 5 huwakosi
 
Ok vipi kuhusu endurance rating yake ?
Wame improve sana kwenye battery ikiwa full charge asubuhi hiyo ni mpaka jioni... Na hapo tuseme huwa nakuwa online data inakuwa on 80% per day or more
 
Huna haja ya kutembea na charge maana mimi usiku saa tano ndio naweka charge... Au ingia Google ujiaminishe zaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…