Massawe909
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 310
- 472
Simu kali kabisa ipo kwenye Good Condition used for 2 month haina michubuko.. Price 900,000/=
Internal memory 128Gb
Ram 6Gb
Primary camera 16mp
Secondary camera 16mp
Dual sim
Android 6.1
Price 900,000/=
View attachment 459724View attachment 459726View attachment 459727View attachment 459728View attachment 459729
400k kanunue j7 wewe badogo upo kwenye kwenye brand!!! Wenzako wanaojua wamekuja na 800 bado na wafikiriaSpecification tamu ila brand itakuhangusha...
Ukishuka mpaka 400k ni pm tuyajenge.
Ok... ni vizuri kama bado wapo watu wa aina hiyo mpaka awamu hii..400k kanunue j7 wewe badogo upo kwenye kwenye brand!!! Wenzako wanaojua wamekuja na 800 bado na wafikiria
Mkuu one plus ni simu nzuri na brand inaheshimika sana huko nje.... Hiyo bei uliyoweka ni ya akina Tecno..... CC Chief-MkwawaSpecification tamu ila brand itakuhangusha...
Ukishuka mpaka 400k ni pm tuyajenge.
Watu wanajua sumsung na iphone tu hii simu ni miungoni mwa simu bora kabisa mwanzoni mwaka huu 2017Mkuu one plus ni simu nzuri na brand inaheshimika sana huko nje.... Hiyo bei uliyoweka ni ya akina Tecno..... CC Chief-Mkwawa
Hahahaaaa, wewe, unazijua simu lakini? Au unafikiri hiyo ni itel au tecno, hebu pitia gsm arena au ebay uione hiyo simu, au umekariri simu ni sumsung,iphone au nokia? Mkuu kuna simu hazina majina lakini hata sumsung hawaikimbizi kama brand za exiomy,wengine wanauzia majina tu sasaSpecification tamu ila brand itakuhangusha...
Ukishuka mpaka 400k ni pm tuyajenge.
Nilizijua samsung na iphone bila kupitia gsm arena..Hahahaaaa, wewe, unazijua simu lakini? Au unafikiri hiyo ni itel au tecno, hebu pitia gsm arena au ebay uione hiyo simu, au umekariri simu ni sumsung,iphone au nokia? Mkuu kuna simu hazina majina lakini hata sumsung hawaikimbizi kama brand za exiomy,wengine wanauzia majina tu sasa
Ukichanganya na hiyo avatar hapo juu ndo kabisa ushamba umekuzidia!!Nilizijua samsung na iphone bila kupitia gsm arena..
Non-removable Li-Ion 3400 mAh batteryNaomba kujua ukubwa wa battery mkuu.. Mah ngap??
Ha ha haaaa inabidi nikufikirieNzuri hadi meitamani
Hahaha utani huu sasaUkichanganya na hiyo avatar hapo juu ndo kabisa ushamba umekuzidia!!
Daaaa haya banaKula 300k nichek pm