Nauza Samaki wa mapambo

Unweza funga pump kwenye hiyo aquarium halafu uniambie jumla itakuwa bei gani
 
Reactions: ywf
Sorry kiongozi, hivi hizi aquarium pump naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar
 
Sorry kiongozi, hivi hizi aquarium pump naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar
ukiwa unatoka mjini kabla hujafika daraja la salenda, kituo kinaitwa Pum beach pale pale kituoni upande wa pili kuna duka lao, hapo, wanauza vifaa mbali mbali vya samaki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…