Duhhh,aisee hiyo nyumba ua Banda?
Halafu subiria manispaa waje,maana unachafua mazingira,hata shimo la choo cha maji ya bafu hakuna,badala yake umetoa Tundu nje,mabati yanatofautiana
Halafu umezuiliwa kuingia ndani ya nyumba umepiga picha kiwizi wiziiiiiiiii