Nauza mahindi makavu

Wewe nimesema 4500 alafu unakuja na bei zako za 3500 unanipangia bei mkulima Mimi why
Acha undezi ni wapi nimekupangia? Biashara mapatano Mi nimeomba unifanyie hiyo bei kama waona haikulipi si unasema
 
Acha undezi ni wapi nimekupangia? Biashara mapatano Mi nimeomba unifanyie hiyo bei kama waona haikulipi si unasema
Namimi nmekuomba unifanyie 5000 so usipanic mkuu tuliza mshono
 
Nataka kujua kwa gunia 100 jumla itakuwa bei gani? Ni nunue zote kwa bei yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…