Nauza line za uwakala

Ninauza laini za uwakala.....iko ya tigopesa na mpesa....kila moja nauza kwa 150,000/=
Interested party njoo PM tufanye biashara
Niko Dar
Wadau nina hitaji haswaa hizo line lakini tatizo sina uelewa nazo nahofu maana town janja janja nyingiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…