wewe sio mfanya biashara weka kila kitu hadharani hakuna biashara za ku PM hapa kama hutaki jikatae!!!Yaani nikitaka specs ,price na kila kitu niku PM usipojibu jee,hujaweka hata ur #,hakuna biashara za hivyo!!!
wewe sio mfanya biashara weka kila kitu hadharani hakuna biashara za ku PM hapa kama hutaki jikatae!!!Yaani nikitaka specs ,price na kila kitu niku PM usipojibu jee,hujaweka hata ur #,hakuna biashara za hivyo!!!
Mi nafikiri angeweka full detail specification, rangi,(manake waweza kukutalaptop yangi yakijani) na bei, ambapo anaweza kusema bei ni kubagani hawa hakuna kupunguza ni fiksed.