Nauza kiwanja Morogoro 1,800 sq.M

LAPTOP2016

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
728
Reaction score
2,140
Aina ya property : Kiwanja/Plot
Mkoa kilipo : Morogoro
Eneo : Kilimanjaro, Njia ya Dodoma M 800 kutoka barabara ya Dodoma.
Ukubwa : 1,800 sq.m Low Density
Sifa za eneo : Kimepimwa, Kina offer halali, na mimi ndiye mmiliki
Bei : Milioni 13.
Mawasiliano : PM
Sifa nyinginezo : Kipo kwenye kona, nyumba nyingi zimejengwa maeneo hayo, Ni sehemu nzuri na salama kwa makazi, Umeme na maji upo.

KARIBUNI SANA KWA MWENYE UHITAJI.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…