Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,766
- 2,684
Kigamboni kuelekea Kongowe.Tuangoma ndo wapi mkoa gan? Kina umbal gan kutoka barabara kuu
...............
.......... Ukubwa wa kiwanja ni miguu17 kwa 17(robo heka)
Kumbuka robo hekari ni mita za mraba zisizopungua 1,000. Wakati eneo lako hilo litakuwa na ukubwa kati mita za mraba 200-250Habari wakuu.
Nina kiwanja changu nauza kilichopo eneo la Tungoma kwa sako karibu na barabara.Eneo hili llote kuna nyumba.Pia kuna huduma za maji na umeme.Ukubwa wa kiwanja ni miguu17 kwa 17(robo heka).Bei ni milioni tano ambapo utaweza kulipa kwa awamu tatu ndani ya miezi mitatu.(YAANI MILIONI MBILI, KISHA MOJA, MWISHO MOJA)
Mawasiliano:0713-039875
Anadhani robo eka kitu cha mchezo mchezo...Una uhakika unacho kinena? Kama Jambi dogo tu kama hili umedanganya tutakuwa na ukakika gani na uhalali wa hicho kiwanja?
Mwisho milioni nne.Ekari Moja ni mita 70 kwa 70 ambazo ni sq.m 4,900. Mkuu miguu 17 kwa 17 ni sawa na approximately sq.m 289. Hiyo bei ni kubwa sana Fanya milioni 3 utapata mteja. Mimi nimeuza changu hapo somangila sq.m kama 500 milioni 4. Hali ni ngumu shusha bei utapata mteja.
Napenda kuweka record sawa. 70 x 70 tuliyoizoea kuwa ni ekari moja, sio kipimo cha mita Bali ni hadi ( yard) , eneo la ekari moja huwa ni mita za mraba 4047 kama sikosei. Unaweza kuhakikisha kwenye googleEkari Moja ni mita 70 kwa 70 ambazo ni sq.m 4,900. Mkuu miguu 17 kwa 17 ni sawa na approximately sq.m 289. Hiyo bei ni kubwa sana Fanya milioni 3 utapata mteja. Mimi nimeuza changu hapo somangila sq.m kama 500 milioni 4. Hali ni ngumu shusha bei utapata mteja.
mkuu si tuangoma ni toangoma utakosa wateja kwa makosa kama haya.Habari wakuu.
Nina kiwanja changu nauza kilichopo eneo la Tungoma kwa sako karibu na barabara.Eneo hili llote kuna nyumba.Pia kuna huduma za maji na umeme.Ukubwa wa kiwanja ni miguu17 kwa 17(robo heka).Bei ni milioni tano ambapo utaweza kulipa kwa awamu tatu ndani ya miezi mitatu.(YAANI MILIONI MBILI, KISHA MOJA, MWISHO MOJA)
Mawasiliano:0713-039875
Ni sehemu nzuri saana, juzi nilitoka hapo kufanga system kwenye duka moja la madawa, ni pazuri na mapema changamka saaana.Tuangoma ndo wapi mkoa gan? Kina umbal gan kutoka barabara kuu
Halafu miguu 17x17 unaita robo heka... na 35x17 utaiitaje?Tuangoma ndo wapi mkoa gan? Kina umbal gan kutoka barabara kuu
hata hiyo bado sio robo heka, robo ni 35x35Halafu miguu 17x17 unaita robo heka... na 35x17 utaiitaje?
70x70 = heka 1hata hiyo bado sio robo heka, robo ni 35x35
SHUKRANI KWA KUCHANGIA. BADO KIPO NAUZA.70x70 = heka 1
35x70 = 1/2 heka
35x35 = 1/4 heka
Uko sawa mkuu [emoji56][emoji109]
Wewe classmate wangu, kumbe upo JF? nilikuwa sijuihata hiyo bado sio robo heka, robo ni 35x35
Hizo ni mita au yard70x70 = heka 1
35x70 = 1/2 heka
35x35 = 1/4 heka
Uko sawa mkuu [emoji56][emoji109]