Nauza kabati la vyombo full mninga

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,009
Reaction score
17,462
Nauza kabati la vyombo full mninga. Urefu na upana foot 6. Unene (thickness) centimeter 48. Ni piece 2 kwa urahisi wa ubebaji na usafirishaji. Bei laki 4 tu. Bei ya dukani si chini ya 1.5mil. Kama unahitaji njoo PM
 
Picha hizi. Kama huko interested kwa biashara njoo PM
 
Hahaaaa Boss umeamua ku retreat!
Hapana. Nimehamia nyumba ambayo makabati ya vyombo yako stoo na jikoni ya kujengewa ukutani. Kwahiyo sina sehemu ya kuliweka ndo maana liko sebuleni kizembezembe kama unavyoona na bei yenyewe ya kutupwa
 
Hongera sana mkuu naona umeamua kuhamia kibishi
 
Mkuu upo makabe sehemu gani?

Karibu hill hapa tupate mbili tatu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…