Weka details zote za simu pamoja na bei na namna ya kuipata kama upo serious unauza hiyo simu ili kila mtu aweze kuona, inbobo kufanya nini? kuna nini unaficha kuhusu hiyo simu mkuu.
Ni muda wa mwezi tangu nimenunuwa simu haina tatizo lolote lile.Simu bado mbichi kabisa ila sababu ya matatizo niliyoyapa hivi karibuni nalazimika kuiuza hii iphone.Bei ni Tsh 1.8 mil
Ni muda wa mwezi tangu nimenunuwa simu haina tatizo lolote lile.Simu bado mbichi kabisa ila sababu ya matatizo niliyoyapa hivi karibuni nalazimika kuiuza hii iphone.Bei ni Tsh 1.8 mil
Am sorry kwa usumbufu ila picha naziweka sasa hivi.Kuhusu bei hii ndio bei yake lakini inapunguwa.Iphone8>256gb ni gharama kubwa sana sokoni yaani hapo nimepunguza sana