Nauza iPhone 5s kwa 150,000 tu

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,119
Ninaiondoa mikononi mwangu simu yangu kwa bei ya Tzs 150,000 tu (Non negotiable) nikiwa nimeitumia kwa kipindi kisichozidi miezi minne tu
Brand: iPhone [emoji336]
Model: 5s
Storage: 16Gb
iOS: 12.2
Color: Gold
Location: Dar Es Salaam

Note: Simu peke yake charger yake ilishaharibika so ninatumia ya simu yangu nyingine

Tuwasiliane kwa wahitaji serious kwenye 0737707960
 
Njoo inbox tupange rendezvous lakini uje na risiti original uliyonunulia picha yako ya passport size na kitambulsho chako halali kati ya k/utaifa, lesseni au passport yako ya kusafiria na copy ya kitambulisho utakachokichagua. Mimi hapa nimeishadraft sale agreement na ink pad yangu hipo tiyari kwa ajiri ya saini yako ya Dole gumba .
 
Dah sijui kaka ila kama una mtu yuko Dar tunaweza mtumia huyo ukaipata kama tutafikia muafaka
 
Simu ipo mikononi mwako ila picha umetoa mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…