Nauza Iphone 4s bei ya kutupwa

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,896
Reaction score
1,214
Kwa anaehitaji simu kali yenye miziki 1740 na ipo katka hali nzuri sana kwa Tshillings 400,000.00 tuu.
Namba hiz kwa anaehitaji 0716 703107
Dsm ndo mtaaa.
 
Haujaandika rangi gani?ina internal memory ngap? tangazo lako limefeli
 
Asanten kwa kuchangia,wenye uhitaji wameshanitafuta na nshafanya biashara polen zenu,rangi haimat kama umependa brand!!!!!umefel ww unaejiita GT ukiwa na mawazo ya div five,hyo 150 na 200 kanunuen simu mnazotomia hzo za kichina na mtabaki huko huko mliko
 

Bora hata hao wa div 5 wew div7 bado inajadiliwa. Simu uuze mwenyewe uulizwe rangi unatoa majibu ya ki ziro bichwa lako limejaa maji...!
 
Kwa anaehitaji simu kali yenye miziki 1740 na ipo katka hali nzuri sana kwa Tshillings 400,000.00 tuu.
Namba hiz kwa anaehitaji 0716 703107
Dsm ndo mtaaa.

Miziki 1740 ndio nini??
 
Mhh mteja ni mfalume..wasikilize na wajibu kwa utamu utafanikiwa. Ujasiliamali ni kazi kubwa sana mkuu. all the best...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…