Nauza Huawei Y7 Prime 2019

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
ASANTENI. SIMU IMESHAUZWA!
MODERATORS: NAOMBA MFUTE TANGAZO HILI

Simu ina muda wa miezi miwili tu toka inunuliwe. Ina hali nzuri sana MashaAllah
1. Ram 3GB
2. Internal Memory 32GB
3. Battery capacity 4000Amh inakaa hadi siku 3 km haupo busy sana na matumizi ya internet
4. Line inatumia 2
5. OS ni Android 8.1
6. Network 4G/LTE
7. Rangi Nyeusi
8. Inapatikana Kigamboni, Dar es Salaam
9. Bei 330,000Tzs ( Mazungumzo yapo)
10. Mawasiliano 0755411455 (call|sms|whatsapp)
Mahala popote simu unaweza kuipata hata kwa kutumiwa!
Picha zipo Post #5
 

Attachments

  • Screenshot_20190807_161222.jpeg
    37.9 KB · Views: 23
  • Screenshot_20190807_161254.jpeg
    57.3 KB · Views: 22
Tatizo umeweka picha ya google weka picha halisi ili mtu kama anakucheck kusiwe na usumbufu tena mala nitumie picha mala nini.
 
Tatizo umeweka picha ya google weka picha halisi ili mtu kama anakucheck kusiwe na usumbufu tena mala nitumie picha mala nini.
Soon naweka maana ilikuwa inagoma ss kujaribisha hii ikakubali
 
Kama 150 inalipa nicheki inbox nimchukulie kijana wangu wa shamba
 
Picha halisi za hiyo cm hizo hapo Wakuu
Karibuni. Sehemu yoyote waweza kuipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…