Nauza geto Songea

Ushirombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,558
Reaction score
2,714
Wakuu,

Ni geto nimeishi wiki mbili, lina kitanda kipya, godoro dodoma jipya nchi 6, 5 by 6, kiti na meza na vifaa vya toilet, geto pia kama unataka uhamie lipo Songea town kabisa barabara kama umetoka stand ya kati kuelekea Mfranyaki karibu na zile bumps wanaita kwa wachonga vinyago, kwenda stand ni dk 5 kutembea ni nyumba mpya self contained with water supplied 24/7 na umeme tunashare luku mtu tatu, usalama full kwa mwezi ni elfu 50.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…