Nauza gari

Mbaya1579

New Member
Joined
May 14, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Nauza gari Toyota IST 2002 model bei nafuu. Nipigie simu namba 0718383913
 
Unategemea kwa maelezo yako hayo utaiuza kweli hiyo gari?????
 
Weka Picha ya Gari!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
More details required.
1.color
2.odometer
3.year of reg in tanzania
4.condition/grade yake
 
Hiyo sticker ya be foward ibandue jamaa wanasifika kwa kuuza magari mabovu wanaojua washafahamu kuwa huo ni msala
 
Hapo safi kabisa. Weka bei ya kuanzia sasa
 
Haitakiwi izid tshs 9m..in short ni lazma iwe single digit price..or else....kaa nayooo.
Weka bei fastaaaaa
 
Hiyo sticker ya be foward ibandue jamaa wanasifika kwa kuuza magari mabovu wanaojua washafahamu kuwa huo ni msala

Kwa utafiti gani uliofanya? Unaponunua gari lazima uhakikishe vitu vya msingi kukuhakikishia ubora kupitia maelezo yao.Kama maelezo yao ni ya uongo that is another case.
 
dah! delusions: kweli bwa hawa "Be Forward" hata mie siwaamini kabisa zile bei zao za magari mmmh, lazima upate kigugumizi aise ......hope watakua wanauza vimeo sana ....
 
Ole wako tukose hela ya bia na gesti kwa kuwa tu unataka kununua gari.

Sasa mkitoka kufyonza mtapanda nini? sio usafiri? Siku hizi hata Boda boda ni Guest House acha akamate usafiri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…