Wadau habarini za mchana,ninaunza gari yangu aina ya Harrier Old Model,bei ni Tshs 15,000,000/ sababu zakuiuza ni kwamba kwamba nauza niweze kuongeza pesa ninunue gari jingine!
kuinunua ni milion 6 (cif) kodi ni 7.5 +milion 1 mazagazaga ya bandari betri mpya mafuta clearing ,shipping line na port charges jumla 14 hiyo ikiwa imetoka japani hiyo yako bei ya kiuhalisia sokoni ni mil 8-11
Mkuu 7.5m utauza la sivyo itakuhangaisha mnoo, wanunuzi wenyewe dar wananunua plate number na ukishaweka sokoni mtu anajua una tabu.. Plus bei halisi ya kuuza ilitakiwa isizidi 10m