Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,814
Mkuu weka mawasiliano niichukue faster mapema leoOfa kwa wana JF!
Jipatie computer ya kisasa kabisa aina ya Acer Veriton.
Komputer ni sawa na mpya. Naiuza kwa kuwa nimeamua kuireplace na laptop...
Spec ni kama zilivooneshwa hapo...
Computer niliinunua lakin nane Cash kwenye duka la Mitsui pale Posta. Ila mie natoa ofa kwa mwana JF kwa Tsh laki moja na tisini elfu cash! Hii ikiwa ni bei ya punguzo la Zaidi ya asilimia mia nne...
Storage ya HDD ni GB 465
Kama unahitaji nichek inbox...
View attachment 467388
[/ATTACH] View attachment 467389
Weka Picha tuone taja na eneo ulilopoMwenye uhitaji Wa desktop monitor inch 19 dell, speaker zake 2, na keyboard znauzwa 90,000 kwa zote
Weka Picha tuone taja na eneo ulilopo
DSM .tabata
mashine haiuzwi?
Kuna monitor tumashine haiuzwi?