Akili zimewarudia bado mtaleta sahali tu.Iliponyesha mvua waungwana wameshajua panapovuja. Hizo zingine ni kelele tu za debe tupu.4 G imefanya wengi wenye viburi wawe na heshima kama mwali aliyepo unyagoni akisimamiwa na manyakanga. Leo tutapewa kila mifano ya timu kufungwa. Mifano hiyo imeanza leo?Haikuwepo kabla ya mechi ya ARBA?