Milioni ishirini na maeneo unayoyazungumza tena yawe na hati, mbona ndogo hiyo mama/baba
Tanzania sasa imebadilika, Kuitafuta hiyo 20m, mpaka jasho la damu litakutoka lakini matumizi yake duhh
Hebu cheki na huyu bwana KITOMAI, 0755312233, YEYE ANASHUGHULIKA SANA NA HAYO MAMBO NA ANA VIWANJA VYA HUKO UNAKOKUULIZIA