Natafuta NOAHA ya kununua

Habari wana JF.

Naomba kama kuna mtu anauza NOAHA iliyo katika hali nzuri wasiliane name.

Asante
Tembelea arusha mailing huwa wanatangaza vitu vizuri kwa bei ya kawaida, magari, samani na kadhalika, kila la kheri mkuu
 
Tembelea arusha mailing huwa wanatangaza vitu vizuri kwa bei ya kawaida, magari, samani na kadhalika, kila la kheri mkuu
Mimi namshauri afungue ZOOM Tanzania zipo hapo kibao na simu za wauzaji atazipata ni kubofya tu hakuna cha Dalali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…