Umri uanzie miaka 18,msichana ndio hasa ninaemtafuta isipokuwa nikimpata mvulana mwenye uzoefu nitamchukua,yaani ajue kazi zote za ndani,ataishi kwangu huduma zote muhimu mfano chakula nk atapata.mshahara ni makubaliano kati yangu na yeye
kama upo serious nipigie tuongee 0777409423...sio muhusika bt kuna ndugu yangu alikuwa anahitaji kazi za ndani..ana miaka 18 exactly kaishia form 2..uzoefu anao coz aliwah kuwa dada wa ndani huko moshi...uaminifu nakuhakikishia ni 100%...mimi nipo morogoro nasoma...so ni vizuri tukawaciliana ili niyajue mazingira ya kazi kabla cjamtaarif..