Natafuta Mchumba

KING_ETHAN

Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Habari zenu wadau,

Mimi ni Mvulana wa miaka 28, Natafuta Mchumba wa kufanya nae maisha, awe na umri kuanzia 20 - 26, kabila lolote kasolo Mzalamo, Awe mkristo mwenye kumuogopa Mungu, hata asipokuwa na kazi sawa, ilimradi awe mkweli na aliyeumizwa na kuelewa maumivu ya mapenzi.

kwa aliyesiriaz ani PM. niko Kigoma kwa sasa ila naishi Dar
 
Unamtafuta aliyesiriaz ilhali wewe hauko siriaz kiasi hata husemi wewe ni jinsia gani.
And btw thread hii ilitakiwa uipeleke Love Connect!
 
(sijaelewa upo kigoma kwa sas ila kwa sasa unaishi dar? inaelekea mguu upo kigoma mwili upo dar)


by the way hili sio jukwaa husika peleka love connect
 
bora useme wewe brigedia manyota, mamaafacebook ananinyanyasa kwakuwa yeye anawake etii:angry:
 
namaanisha wewe unaye wako wa ku........ndomana unani nyasa nyasa:angry:
 
namaanisha wewe unaye wako wa ku........ndomana unani nyasa nyasa:angry:

ukireply reply with quote!!!! halafu hapa ni public weka mambo hadharani hizi dash dash zitoe weka ulilokusudia
 
Amuogope mungu sasa atamuombaje?mungu anatakiwa kua rafiki yako mpendwa,sasa umuogope alafu umuombe?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…