Habari zenu wadau,
Natafuta Mchumba wa kufanya nae maisha, awe na umri kuanzia 20 - 26, kabila lolote kasolo Mzalamo,(inaelekea wazaramo una kesi nao) Awe mkristo mwenye kumuogopa Mungu(hakuna asie muogopa mungu dunia hii), hata asipokuwa na kazi sawa(utakubali awe goli kipa), ilimradi awe mkweli na aliyeumizwa na kuelewa maumivu ya mapenzi.(sijaeewa mantiki yako awe kaumizwa???kwanini?)
kwa aliyesiriaz ani PM. niko Kigoma kwa sasa ila naishi Dar