Natafuta mchumba, mdada uliyeserious kiukweli

stevavevi

Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
5
Reaction score
1
Natafuta mchumba ambaye Mungu akijalia tuishi pamoja hapo baadae.

Sifa zake...

1. Dini - mkristo

2. Kabila - lolote

2. Umbile - Hasiwe mfupi sana wala mnene sana.

3. Umri - hasizidi 27

4. Elimu - Kuanzia kidato cha 6

5. Rangi - Mweupe au maji ya kunde

6. Tabia - Awe mpole,mkarimu,asiwe na tamaa,mpenda maendeleo na
anayeenda na wakati.

7. Afya - asiwe na magonjwa hatarishi, haswa ya kurithi.( tutaenda
kufanya check up, hapa asitegemee kuleta longolongo )

8. Awe mkweri,muwazi,mwelewa na anayejielewa(asiwe conservative sana)


Sifa zangu

Dini - mkristo

Elimu - Masters degree

Umri - 29

Kazi - Sina kazi ya kudumu kwa sasa sababu nimeunganisha shule mfululizo.

Umbile - mrefu

Rangi - mweusi

Tabia - mtulivu,mvumilivu,mwelewa, mchakarikaji.

Kwa mawasiliano unaweza kuni inbox hapa,

au unaweza kunicheck kupitia email yangu : mathiassteve1@gmail.com


Walio serious tu,ndio wanaokaribishwa.

Asanteni......!!
 
Hadi umefika masters humo njiani katika safari yako hukuona hata mmoja?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…