Natafuta mchumba(kike)

mwanjokay

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Mm ni kijana mwenye miaka 26 naishi mby ninahitaji msichana wa kuwa mchumba wangu and then tuoane
sifa zangu

umri 26yrs

mrefu wa wastani

nimeokoka

mpenda maendelo/kijituma

sifa za nimtafutae

awe ameooka au awe ready kubadilika na kuokoka coz mkiwa na mungu regardless ya matatizo familia itasonga mbele

asiwe tall sana coz tutakosa uniformity
awe mchamungu (first priority)
awe na recognized home place kwan panapotokea matatzo ya kifamilia wazaz/ndugu huwa nguzo muhimu ya kutatua complications )
awe na uwezo na mawazo flan ya kimaendeleo coz nahitaji maendeleo ya familia yangu sio mawazo ya kwenda disco kila sk eti kwasababu ela ipo
apende wazazi wote/wangu wake na kuwaheshimu watu wote regardless ya kipato chao
rangi sibagui ila kwa mwanamke beautifulness ni very important sana
particulars nyingne tutapeana kama akiwa ready. 0759796813
 
hapo uliposema asiwe tall ina mana unataka mbilikimo au vipi hapo umechanganya wengi unataka wa aina gani anaweza aje mrefu kama great kali be specific
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…