Natafuta mchumba jinsia ya kike

principles

Member
Joined
Nov 17, 2017
Posts
30
Reaction score
10
Habari za wakati huu...

Tunapoelekea kumalizia mwaka na kuanza mwaka mwingine pia naendelea kuwa kurudia kutangaza tenaaa kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25..
Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea
Asiwe kibonge sana wala mwembambamba sana
Dini yoyote ile..
Sifa zangu za awali Elimu degree moja mrefu wastani wa futi tano
Sifa zingine PM zaidi karibuni
 
Kla la kher
 
Haya sasa wanawake nafasi hii sasa mwaka umeanza na neema changamkieni fursa
 
Umeshapata
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…