Natafuta mbegu nzuri ya nguruwe

Mikongeni

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
32
Reaction score
4
Naomba anayejua Mullins/kampuni inayouza nguruwe wazuri ( wanaozaa watoto wengi na kukua kwa haraka) anijulishe. Nijibu humu au kwenye inbox binafsi: resbijura gmail.com.
 
Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…