Asante ndugu yangu Mokoyo... Najua angeweza kuwa msaada lakini pia nafikiri yeye kama mbunge anapaswa kuhusika zaidi na matatizo yanayogusa jamii kuliko mtu mmoja mmoja. (Najua mi ni shehemu ya jamii hiyo) but mh! ngoja tumwachie majukumu yanayogusa population iliyo kubwa ya wakazi wa mbeya