Natafuta kibarua

fetty muka

New Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu wana jf ,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Mbagala DSM. Natafuta kibarua chochote cha halali. Kwa yoyote mwenye uhitaji tuwasiliane 0716469200. Elimu yangu ni kidato cha nne.
 
Habari zenu wana jf ,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Mbagala DSM. Natafuta kibarua chochote cha halali. Kwa yoyote mwenye uhitaji tuwasiliane 0716469200. Elimu yangu ni kidato cha nne.
Nipigie kwa namba 0653098230, Kasim Saidi
 
Habr wapendwa Mimi ni kijana mweny umr wa,miaka 22 elimu Yangu ni kidato cha nne natafuta kaz au kibarua chochote cha halali , ninaish mbagala kwa,yoyote alie na huitaji tuwasiliane kupitia 0653098230

Endelea kutafuta, utapata mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…