Natafuta kazi yoyote halali ya kufanya elimu yangu ni cheti cha form four pia nimesoma ninauzoefu wa dereva mwaka mmoja sasa ... leseni yangu ni daraja D nipo Dar es salaam
Elimu yangu ni cheti cha form four ni dereva na uzoefu wa mwaka mmoja sasa leseni yangu ni daraja D..msaada wenu ndugu kama kuna kazi ya udereva..makazi yangu ni Dar es salaam