Natafuta Kazi.

Joined
Oct 5, 2018
Posts
7
Reaction score
0
Habari wana JF, Namtafutia kazi rafiki yangu wa karibu ni mdada, kazi za stationary boutique na zenye kufanana na hizo na ana experience nazo pia kwa miaka mitatu.Kwa yeyote mwenye access nazo naomba msaada Tafadhari. Anaishi Dar.
 
Ni muda muafaka wa yeye kutengeneza ajira
 
Muulize ana idea yoyote ya biashara?? Hebu lete mawasiliano yako
 
Kama ni mdada kazi amepata
 
Muulize ana idea yoyote ya biashara?? Hebu lete mawasiliano yako

idea ya biashara anayo na alishawahi kujiajiri kwa kutengeneza juice na kuuza kwenye migahawa ila alipata changamoto sehem anapouzia kwa kusababishiwa hasara ya mtaji wote aliokuwa nao. kwa hiyo amekwama ndio mana anatafuta kazi ili afanye kwa malengo akipata aendeleze biashara yake hiyo iliyokufa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…