Natafuta kazi

Paul Kimba

New Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
3
Reaction score
2
Natafuta kazi kufundisha katika shule yoyote nimemaliza chuo cha ualimu wa shule ya msingi
 
ushauri wangu wa bure kwako:
  • nenda kapeleke application letter (barua ya kuomba kazi) katika shule tofauti zilizopo mji unaoishi. Maana sidhani kama kuna headmasters wanaingia humu JF kusajili walimu.
  • Kama hukubahatika kupata, basi jaribu kuomba ajira za serikalini.
  • kama pia hukubahatika kupata, basi anzisha hata ka tuisheni kako uwe unawafundisha.
  • kama pia unaona haitalipa au itakua ngumu kwako, basi jaribu kuangaza fursa nyingine nje ya ualimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…