Mimi ni binti wa miaka 24 nimemaliza shahada ya ualimu nimebobea kwenye kiswahili na history. Natafuta kazi yeyote ile ili nijiingizie kipatata kazi ya kufundisha, supermakert, kuuza duka, secretary, viwandani kuwa kama vibarua na nyingnezo nitafurahi endapo nitapata, asante.
Sent using
Jamii Forums mobile app