LIDODA KAMBANGA
Member
- Mar 28, 2014
- 25
- 0
Kwa uandishi huo una haki ya kutokupata kazi mkuu embu andika kama kwel unahitaji kaz na sio mizaha
Kwa uandishi huo una haki ya kutokupata kazi mkuu embu andika kama kwel unahitaji kaz na sio mizaha
ulitaka andikaje watanzania ndo maan a2endelei unajifanya ujaelewa kama una cha kumsaidia kaa kimya
damn you! obsolete!Kwa uandishi huo una haki ya kutokupata kazi mkuu embu andika kama kwel unahitaji kaz na sio mizaha
Kwa uandishi huo na wewe pia mtafanya kazi gani? Awe serious asaidiwe, akileta utoto ataendelea na shida zake.
ulitaka andikaje watanzania ndo maan a2endelei unajifanya ujaelewa kama una cha kumsaidia kaa kimya
Kwa uandishi huo una haki ya kutokupata kazi mkuu embu andika kama kwel unahitaji kaz na sio mizaha
Kakwambia mpe kazi yoyote ya halali,wewe bado unauliza upuuzi.Kama unataka kugegedwa useme tu!
Mkuu vipi mbona hivyo?
inaonekana we ni wa mwaka 47 si bure.kwa hiyo unataka alete uzee wako hapa? mschyiiiiiiiiiiiiiii. huna msaada kakojoe ukalale, ukiamka nenda BAKITA ukasaidie kuandika kamusi kama we unajua sana uandishi.
Hata kufundisha naweza, nimewahi fanya part time time 2011, pia hata yoyote halali