mimi ni kijana nliyemaliza certificate in law mwaka 2010 lakn bdo sijabahatika kupata kazi,nipo tayari kufanya kazi popote..ninawaomba wenye mawazo wanishauri hata
pia wenye kuweza kunisaidia nikapata ajira ninaomba wanisaidie. Ninashukuru sana waungwana