Natafuta incubator

Ndeleya

Member
Joined
Mar 20, 2009
Posts
18
Reaction score
6
Wapendwa wanajukwaa! Natafuta mashine ya kutotolea mayai yenye uwezo wa kubeba mayai kati ya 200 mpaka 500. ...ukiniambia mahali zinakopatikana na bei zake ntakushukuru.
 
Zinapatikana hapa dar, kuna za china na zinazotengengenezwa nchini, Bei ina-range kati mil 1 na kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…