Hapo sipati picha Pms zilivyojaa huko kibao.
Maana hili tender sio la kitoto.
Watazuka mafundi na madalali wa mafundi humohumo.
Maana mafundi wengi humu JF hawamo,sasa mtu anatoa tender humu anamtafuta fundi kisha anakula percent,sio mbaya lakini awe fundi wa kweli na uhakika.