Ndugu wanajamvi,
Nilikuwa natafuta eneo la shamba ambalo liko katika miundombinu ya umeme na maji maeneo ya kibaha. Sio lazima iwe karibu na barabara kuu, hata likiwa ndani itakuwa poa endapo litakuwa karibu na umeme na maji.
Lipo heka moja, Mlandizi kijiji cha Kikongo "chekereni" kilometa 7 kutoka Morogoro road. Miundombinu ya umeme na maji iko umbali usiozidi mita 100 kutoka kwenye shamba.
Lipo heka moja, Mlandizi kijiji cha Kikongo "chekereni" kilometa 7 kutoka Morogoro road. Miundombinu ya umeme na maji iko umbali usiozidi mita 100 kutoka kwenye shamba.
Ndugu wanajamvi,
Nilikuwa natafuta eneo la shamba ambalo liko katika miundombinu ya umeme na maji maeneo ya kibaha. Sio lazima iwe karibu na barabara kuu, hata likiwa ndani itakuwa poa endapo litakuwa karibu na umeme na maji.
Ndugu wanajamvi,
Nilikuwa natafuta eneo la shamba ambalo liko katika miundombinu ya umeme na maji maeneo ya kibaha. Sio lazima iwe karibu na barabara kuu, hata likiwa ndani itakuwa poa endapo litakuwa karibu na umeme na maji.
Mkuu mimi ninazo ekari tano zipo kongowe kijiji cha soga maeneo ya mradi wa reli ya kisasa unakojengwa (railway standard gauge) Kilimeta 7 kutoka kongowe mwisho na miundo mbinu mhimu kama vile maji, umeme, barabara nzuri na safi zinapatikana na huduma za kijamii kama vile zahanati zipo na eneo lenyewe lipo karibu na shule ya sekondari. Bei ya ekari moja ni shilingi milion sita (6,000,000) ila maongezi na punguzzo yapo mkuu. nitafute kwa namba 0717330230
Lipo heka moja, Mlandizi kijiji cha Kikongo "chekereni" kilometa 7 kutoka Morogoro road. Miundombinu ya umeme na maji iko umbali usiozidi mita 100 kutoka kwenye shamba.