Natafuta chumba self

Mhhh watu tunaishi chumba elfu 80 single itakuwaje 70 upate self......
 
Maeneo ya tegeta hadi bunju
kodi kwa mwezi iwe sh.elfu 70

Ubungo Kibo, kipo double selfcontained, nyumba ni mpya. Fenced na milango ni grill njee, Maji yapo pia. Kodi 150 kwa mwezi unalipia miezi 6. Hakuna ya udalali hapa.
 
Ubungo Kibo, kipo double selfcontained, nyumba ni mpya. Fenced na milango ni grill njee, Maji yapo pia. Kodi 150 kwa mwezi unalipia miezi 6. Hakuna ya udalali hapa.

Mkuu mi nko laki vp naweza pata pa kujihifadhi.....
 
Fixed price haipungui, hii ni kwa seriuos rentors tu vyumba ni vikubwa sana ni 4.0 x4.0 mita

Niangazie hata kwingine mkuu nikajihifadhi na hili jua na mvua hzi za hapa dar
 
Umbali gani toka mandela road kuna wanachuo wanhitaji ,afu double selcontained ni nini kamanda!
ubungo kibo, kipo double selfcontained, nyumba ni mpya. Fenced na milango ni grill njee, maji yapo pia. Kodi 150 kwa mwezi unalipia miezi 6. Hakuna ya udalali hapa.
 
Double= viwili pamoja na choo ndani.
 
Ok nilipitiwa kumbe kibo sio kibangu! Naomba namba yako nikuunganishe nao ,mmoja wao yupo dar na mimi nimechepuka kidogo !
walkable distance of hardly 10 minutes to rombo bus stop
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…