ZIRO JF-Expert Member Joined Nov 10, 2014 Posts 896 Reaction score 659 Nov 12, 2014 #1 Wanajukwaa za jioni: Mwenzenu natafuta chumba cha kupanga self contained maeneo ya Chang'ombe karibia na DUCE uwanja wa Taifa. Kuwe na maji ya uhakika na kodi kwa mwezi isizidi 150,000/= Tshs. Naombeni msaada wenu
Wanajukwaa za jioni: Mwenzenu natafuta chumba cha kupanga self contained maeneo ya Chang'ombe karibia na DUCE uwanja wa Taifa. Kuwe na maji ya uhakika na kodi kwa mwezi isizidi 150,000/= Tshs. Naombeni msaada wenu
L Lubar Member Joined Apr 30, 2013 Posts 14 Reaction score 0 Nov 12, 2014 #2 Unapotaka chumba usichague eneo 1 kama huko hawajajenga kama unavyotaka? njoo Kinondoni mkwajuni piga no hii 0768334637 utapata chumba hicho
Unapotaka chumba usichague eneo 1 kama huko hawajajenga kama unavyotaka? njoo Kinondoni mkwajuni piga no hii 0768334637 utapata chumba hicho
ZIRO JF-Expert Member Joined Nov 10, 2014 Posts 896 Reaction score 659 Nov 14, 2014 Thread starter #3 Yah ndo maana nkasema maximum 150,000= sio lazima iwe bei hiyo, ambacho kiko self contained
ZIRO JF-Expert Member Joined Nov 10, 2014 Posts 896 Reaction score 659 Nov 14, 2014 Thread starter #4 Me nataka maeneo hayo sababu ni karibu na ofisi,kinondoni mbali sana