Natafuta chumba cha kupanga

ZIRO

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
896
Reaction score
659
Wanajukwaa za jioni:

Mwenzenu natafuta chumba cha kupanga self contained maeneo ya Chang'ombe karibia na DUCE uwanja wa Taifa. Kuwe na maji ya uhakika na kodi kwa mwezi isizidi 150,000/= Tshs.

Naombeni msaada wenu
 
Unapotaka chumba usichague eneo 1 kama huko hawajajenga kama unavyotaka? njoo Kinondoni mkwajuni piga no hii 0768334637 utapata chumba hicho
 
Yah ndo maana nkasema maximum 150,000= sio lazima iwe bei hiyo, ambacho kiko self contained
 
Me nataka maeneo hayo sababu ni karibu na ofisi,kinondoni mbali sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…