Kaka ingekuwa mm ndio Nina mtaji Kama huo nisingeumiza kichwa ningeanzisha duka la vifaa vya ujenzi(hardware).
Duka la vifaa vya ujenzi halina hasara nawaona watu wengi wanatajirika kupitia biashara hii na Tena wengine walianzia mitaji midogo tu chini ya milioni 20 na wametoboa.
Sent using
Jamii Forums mobile app