Nashukuru Mungu mambo yameenda salama

super model

JF-Expert Member
May 1, 2017
307
321
Mimi kama mdau wenu wa jamii forum nilileta uzi huku wakufarakana na mr nilifanyia kazi mawazo yenu nikajifanya mjinga mambo yakaenda sawa siku zote unaambiwa bora kujifanya mjinga ili uwe na amani japo wenye busara watakuona una akili ila umejifanya mjinga ili kuepusha majanga.

Siyo siri mapenzi yanauma nilipopata majanga nilidata nilishindwa kula siku tatu nawaza ni vipi nitasolve yaliyonisibu najua kuna watu wasioelewa nini maana ya mapenzi wanapuuzia na kuona wanaoumizwa na mapenzi ni wadhaifu ila omba Mungu yasikukute bora hata ulipukiwe na bomu lakin siyo maumivu ya mapenzi.

Asanteni kwa ushauri mzuri mlionipa na mungu azidi kuwafanya muwe washauri wazuri wa wenzenu.
 
Hivi Mkuu, kuna Project unaifanya nini, maana hii sio kawaida, au ni mpo group la watu kadhaa mmepeana shift za kutumia same ID?
Hapana mkuu...Project ninayoifanya tangu 2013 ni kama wewe unavyoifanya since 2011.. Sijapeana shift na mtu yeyote... Najua mwenyewe ninachofanya...Asante
 
Mbona mnamuandama hivyo mwenzenu?
Hebu ingia kwenye Nyuzi kama 20 zilizopo mbele yako, kati ya 17 utakuta Mkuu Joseverest yupo kati ya wale wachangiaji wa5 wa mwanzo..

Issue tunajiuliza anawezaje kusoma na kuchangia kila uzi na masaa yote, usikute sio binadamu ni robbot.
 
SIKU ZOTE MAPENZI YAKO KATIKA MAISHA NA SIO MAISHA KATIKA MAPENZI.MAISHA YANASOMGA MKUU MAPENZI YAPO TU
 
Hahahahahahabs joseverest ni balaa yaani kila newz lazima awe kwenye member wawili au watano wa mwanzo!jamaa yuko vizuri aisee na pia nadhani ana kifurushi cha mwaka mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…